Introduction to Ministers
Fahamu Utangulizi wa Maandiko Matakatifu - BIBLE
Mchungaji A.N.M Anaamini kwamba, Mkristo akishafundishwa juu ya Imani ya Mungu wa kweli, ataweza kujitegemea na kumuuishi Mungu ambapo hatimaye ataishi na Mungu; Hivyo basi itasababiha Ibada zetu ziwe na nguvu za Mungu kufanya mabadiriko chanya ya kimaendeleo; Hapa ndipo ndipo tutaweza kufanikiwa kuhubiri Injili duniani yenye mafanikio. "Marko 16:15-16 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Bethlehem Worship Centre